Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics is sung by Boaz Danken. Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics is written by Boaz Danken. The name of the song is Haufananishwi.
Song Details
Song Title | Haufananishwi |
Singer | Boaz Danken |
Songwriter | Boaz Danken |
Haufananishwi Na Kitu Kingine Lyrics
Wewe ni Mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
(rudia toka juu)
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi toa
(rudia)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Katikati ya dhahabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
(rudia x4)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine